SAUTI YA MTAA

SAUTI YA MTAA : Ni ndoto ipi ambayo ulishindwa kuifanikisha hadi leo? Na kwa nini?” 

Ni ndoto ipi ambayo ulishindwa kuifanikisha hadi leo? Na kwa nini?”

Ulikuwa na ndoto kubwa…
Labda kuwa msanii, daktari, mchezaji, au kuisomesha familia nzima —
Lakini mambo yalibadilika. Ulimwengu haukukupa nafasi.

Ilikuwa ndoto gani? Na nini kilikuzuia?
Tushirikishe hapa

#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #NdotoIliyokufa #UkweliWaMaisha #MaumivuYaNdani

Soma na Hizi Pia :

SAUTI YA MTAA : Je, uliwahi kumwambia mtu ‘Nakupenda’ huku ukijua si kweli?
SAUTI YA MTAA : Ushawai Kumpoteza Rafiki Kisa Pesa
SAUTI YA MTAA : JE ULISHAWI KUONA MTU ALIYEFANANA KABISA NA MTU ULIYEKUWA UNAMKUMBUKA
SAUTI YA MTAA : Ni Kitu Gani kilikufanya Ukapoteza Imani kw Binadamu
SAUTI YA MTAA : Ni kipi Ulichoambiwa Ukiwa Mtoto Kilikuvunja Moyo hadi leo ?
SAUTI YA MTAA : Ushawai Kumuona Mzazi wako Akilia ? Ilikuaje ?   
SAUTI YA MTAA : Je Kuna Mtu Aliyekujua Vizuri Kisha Akakusaliti