SAUTI YA MTAA

SAUTI YA MTAA : Ni kipi Ulichoambiwa Ukiwa Mtoto Kilikuvunja Moyo hadi leo ?

Kipi Ulichoambiwa Ukiwa Mtoto kikakuvunja Moyo

SAUTI YA MTAA – Swali Tata
“Ni kipi ulichowahi kuambiwa ukiwa mtoto kilichokuvunja moyo hadi leo? 😒”

Maneno ya watu wazima huwa hayafi kirahisi…
Wengine tuliambiwa hatuwezi, wengine tukachekwa, wengine tukavunjwa mapema sana.

Ulisema hutawahi kusahau? Leo ni wakati wa kuzungumza.
Tupia maoni yako hapa

#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #ManenoYaliyouma #MaumivuYaUtoto #UkweliWaMtaa

Somana Hizi Pia :


SAUTI YA MTAA : Ushawai Kumuona Mzazi wako Akilia ? Ilikuaje ?Β Β Β 
SAUTI YA MTAA : Je Kuna Mtu Aliyekujua Vizuri Kisha Akakusaliti