SAUTI YA MTAA

SAUTI YA MTAA : Je Kuna Mtu Aliyekujua Vizuri Kisha Akakusaliti

SAUTI YA MTAA – Swali Tata
“Je, kuna mtu aliyekujua vizuri sana kisha akakusaliti? ”

Yule ambaye ulikuwa unamwamini, unamshirikisha kila jambo, unamtetea kwa wengine…
Lakini mwisho wa siku, akakufanya kitu ambacho hata adui hangeweza kufanya.

Soma Pia Hii : SAUTI YA MTAA : Je, wanawake kwenye muziki wanahukumiwa zaidi kwa muonekano kuliko kipaji

Ulijisikiaje? Uliumia kiasi gani?
Tupia maoni yako hapa chini πŸ‘‡

#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #MaumivuYaUsaliti #UkweliWaMtaa