SAUTI YA MTAA

SAUTI YA MTAA : Ushawai Kumuona Mzazi wako Akilia ? Ilikuaje ?

SAUTI YA MTAA – Swali Tata
“Ushawahi kumuona mzazi wako akilia?  Ilikuaje?”

Wazazi wengi hujificha wanapoumia, lakini kuna nyakati maumivu huwashinda…
Kumuona mzazi analia ni hali inayogusa moyo kwa kina.

Soma na Hii Pia : SAUTI YA MTAA : Je Kuna Mtu Aliyekujua Vizuri Kisha Akakusaliti

Ilitokea lini? Ulihisi nini?
Tupia maoni yako hapa

#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #MzaziAnalia #MaumivuYaNdani #UkweliWaMaisha