SAUTI YA MTAA

SAUTI YA MTAA : Kipi Kilichowai Kuua Ndoto zako bila huruma ?

SAUTI YA MTAA – Swali Tata
“Kipi kilichowahi kuua ndoto zako bila huruma? 💔”

Wakati mwingine sio uvivu, sio ujinga, sio kukosa bidii…
Lakini kuna jambo moja – au mtu mmoja – aliyevunja ndoto zako kwa sekunde chache tu.

Ilikuwa nini? Uliumizwa kiasi gani?
Tuambie hapa 👇

#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #NdotoZilizokufa #UkweliWaMaisha

Somana Hizi Pia :

SAUTI YA MTAA : Ushawai Kumuona Mzazi wako Akilia ? Ilikuaje ?   
SAUTI YA MTAA : Je Kuna Mtu Aliyekujua Vizuri Kisha Akakusaliti