
“Maisha ni darasa, kila siku kuna somo jipya.”
— Profesa J, Msanii wa Hip Hop
Maelezo: Kila tukio katika maisha lina fundisho. Hata makosa ni walimu wazuri kama ukiamua kujifunza. Usiogope kushindwa, ogopa kutokujifunza.
Usikose NUKUU YA LEO kila siku saa 1:00 hapa IK MZIKI.
#NukuuYaLeo #IKMziki #ProfesaJ #Maisha
