SAUTI YA MTAA

Je, kuna jambo ambalo ulisema kwa hasira, na likabaki kuwa doa maishani mwako

Download | Play Now
Je, kuna jambo ambalo ulisema kwa hasira, na likabaki kuwa doa maishani mwako

“Je, kuna jambo ambalo ulisema kwa hasira, na likabaki kuwa doa maishani mwako? ”

Maneno hayarudi nyuma, na mara nyingine huua zaidi ya mapanga.
Ni neno gani ulilosema ambalo unalijutia hadi leo?

#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #ManenoYaMaumivu