
SAUTI YA MTAA – SWALI LA LEO
“Hivi mtu anayekupenda ANAWEZA kukaa siku nzima bila hata kukutafuta?”
📱 Hakuna meseji.
📞 Hakuna simu.
😶 Kimya tu… siku nzima!
Tuseme ukweli… Mapenzi ya kweli yanavumilia kimya au kimya ni ishara ya kutokujali?
Je, kuna sababu ya msingi au ni red flag tu imejificha?
👇 Tuambie wewe unaamini nini.
🔁 Tag yule mtu huwa anakaa kimya siku nzima, waambie hii ni sauti ya mtaa siyo ya roho peke yake 😂
#IKMZIKI #SautiYaMtaa #SwaliLaMapenzi #MapenziYaMitaa #LoveTalks #RedFlagAuSio
