“Ndoto hazitimii kwa kulalamika, bali kwa kuamka kila siku na kuzipigania kwa bidii.”
π Ujumbe: Mafanikio hayatokei kwa bahati. Unahitaji juhudi, uvumilivu, na kujituma kila siku ili kuifikia ndoto yako. Acha kulalamikaβanza kutenda.
π Usikose NUKUU YA LEO kila siku asubuhi saa 1:00 kamili hapa IK MZIKI.
#NukuuYaLeo #IKMziki #SautiYaMtaa #Inspiration