
“Kwa nini baadhi ya wasanii huandika vizuri kwa wengine kuliko kwao wenyewe? ”
Kuna watu wanatunga hits za wengine,
lakini wakijiimbia wenyewe hawapenyi.
Je, tatizo ni sauti, image au soko?
Tujulishe mtazamo wako
#SautiYaMtaa #IKMZIKI #Songwriting #MusicDebate
