
Leo tarehe 26 Februari, kazaliwa Erykah Badu — mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mmoja wa waanzilishi wa mtindo wa Neo Soul duniani. Alizaliwa mwaka 1971 nchini Marekani.
Maelezo Muhimu
Tasnia / Genre: Neo Soul, R&B, Hip Hop
Mafanikio / Mchango:
• Alipata umaarufu mkubwa kupitia albamu yake ya kwanza Baduizm.
• Ameshinda tuzo kadhaa ikiwemo Grammy Awards.
• Anatambulika kwa mtindo wake wa kipekee wa sauti na fashion uliomtofautisha kimataifa.
Taarifa ya Kumbukumbu
Post hii inatolewa na IK MZIKI kama kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwa mmoja wa wasanii waliobadilisha tasnia ya R&B na Soul duniani.
Vyanzo: UPI (Famous Birthdays Feb 26), Biography.com, IMDb
#IKMZIKI #LeoKazaliwa #ErykahBadu #NeoSoul #RNB #BurudaniDunini
