
“Ni nani aliyekufundisha kwamba si kila anayekuambia ‘nakupenda’ anakwambia ukweli? ”
Mara nyingine maneno matamu ni mtego wa maumivu.
Wewe uliamini nani na kuumizwa vipi?
#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #MapenziYaUongo
“Ni nani aliyekufundisha kwamba si kila anayekuambia ‘nakupenda’ anakwambia ukweli? ”
Mara nyingine maneno matamu ni mtego wa maumivu.
Wewe uliamini nani na kuumizwa vipi?
#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #MapenziYaUongo