SAUTI YA MTAA

SAUTI YA MTAA : Je, kuna maneno ya mzazi wako ambayo bado yanakuumiza hadi leo

Je, kuna maneno ya mzazi wako ambayo bado yanakuumiza hadi leo

SAUTI YA MTAA – Swali Tata
“Je, kuna maneno ya mzazi wako ambayo bado yanakuumiza hadi leo? ”

Wakati mwingine maneno ni makali kuliko mapanga.
Ulishawahi kuambiwa kitu kikakubaki rohoni maisha yako yote?

#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #ManenoYaMzazi