Studio ni maabara ya hisia – pale tunapochanganya maumivu, furaha na ndoto kuwa muziki unaoishi milele.”
— Master Jay, Producer wa Muziki
📌 Ujumbe: Studio ni mahali ambapo sauti zinageuka kuwa maisha. Ni chombo kinacholeta hisia za msanii kwa dunia nzima.
🕐 Usikose NUKUU YA LEO kila siku asubuhi saa 1:00 hapa IK MZIKI.
#NukuuYaLeo #IKMziki #MasterJay #Producer #StudioPower