
“Mziki si burudani pekee ā ni historia na sauti ya watu wasio na sauti.”
ā Juma Nature, Msanii wa Hip Hop Tanzania
š Ujumbe: Kila ngoma ni simulizi. Muziki hubeba maumivu, matumaini, na historia ya mitaa yetu.
š Usikose NUKUU YA LEO kila siku saa 1:00 hapa IK MZIKI.
- #NukuuYaLeo #IKMziki #JumaNature #MuzikiNiHistoria
