NUKUU

NUKUU YA LEO KUTOKA KWA HARMONIZE KUHUSU BIDII

NUKUU YA LEO KUTOKA KWA HARMONIZE KUHUSU BIDII

“Hakuna shortcut kwenye mafanikio ya muziki, unachokiona ni matunda ya maelfu ya saa za jasho nyuma ya pazia.”
— Harmonize, Msanii na CEO wa Konde Gang

📌 Ujumbe: Mafanikio makubwa hutokana na bidii kubwa. Kila mafanikio ya msanii ni matokeo ya muda mrefu aliotumia akijituma bila kuchoka.

🕐 Usikose NUKUU YA LEO kila siku asubuhi saa 1:00 hapa IK MZIKI.

#NukuuYaLeo #IKMziki #Harmonize #BidiinaJasho #KondeGang