“Je, kuna jambo ambalo ulisema kwa hasira, na likabaki kuwa doa maishani mwako? ”
Maneno hayarudi nyuma, na mara nyingine huua zaidi ya mapanga.
Ni neno gani ulilosema ambalo unalijutia hadi leo?
#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #ManenoYaMaumivu
“Je, kuna jambo ambalo ulisema kwa hasira, na likabaki kuwa doa maishani mwako? ”
Maneno hayarudi nyuma, na mara nyingine huua zaidi ya mapanga.
Ni neno gani ulilosema ambalo unalijutia hadi leo?
#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #ManenoYaMaumivu