SAUTI YA MTAA

SAUTI YA MTAA : Je Ushawai Kupanda Dala dala na kushuka bila kulipa nauli

Ushawai Kupanda Dala dala bila Kulipa

“Je, umewahi kupanda daladala na kushuka bila kulipa nauli?  Ilikuwaje, uliponea vipi?”

Kuna wakati maisha huwa magumu au unajikuta tu kwenye hali ya ajabu.
Wengine waliponea kwenye foleni, wengine walikimbia, wengine walisingizia…

Soma na hii pia : SAUTI YA MTAA : Wasanii wa sasa wanawakilisha jamii au wanachafua jamii

Tupia story yako hapa

#SwaliTata #SautiYaMtaa #IKMZIKI #MaishaYaUkweli #DaladalaExperience