Baada ya ukimya wa muda mrefu, Anti Vairas amerudi kwa kishindo kwenye game ya muziki! Tayari ameachia ngoma kali kama Shubiri, Rudisha, na Utauponza – sasa anakuja tena kwa mdundo mpya akiwa na Jay Combat, moja ya majina yanayovuma kwa kasi kwenye Singeli.
Ushirikiano huu unatazamwa kama mchanganyiko wa nguvu mbili za mitaani – flow kali, sauti ya uhalisia na mtetemo wa Singeli halisi! Wengi wanasema hii collabo inaweza kuwa baba mkubwa wa mwaka.
Je, unadhani ngoma hii mpya itatikisa vipi mtaa wako?
🛑 Usikose updates zote, audio ya kwanza, na matukio ya nyuma ya pazia hapa IK MZIKI. Tunakuletea kila kitu exclusive kabla ya popote!
🗣️ Toa maoni yako hapa chini – unamkubali zaidi nani kwenye hii track?
#IKMZIKI #Singeli #AntiVairas #JayCombat #HabariZaMuziki #TanzaniaMusic #NewBongoHits #ExclusiveNews