
Leo tunakuletea nukuu yenye msukumo kutoka kwa Tony Robbins, mtaalamu wa mafanikio:
“Kuweka malengo ni hatua ya kwanza katika kugeuza kisichoonekana kuwa kinachoonekana.”
Maneno haya yanatufundisha kwamba kila mafanikio tunayoyaona leo yalianza kama wazo tu lisiloonekana. Lakini kwa kuweka malengo madhubuti na kuchukua hatua, ndoto hizo hugeuka kuwa kweli. Hakuna kinachoshindikana kwa mtu aliye na maono na mpango thabiti.Hata wewe unaweza kuanza leo kwa kuweka lengo moja dogo tu—na utaona mabadiliko makubwa kadri muda unavyopita.
Usikose ‘Nukuu ya Leo’ kila siku asubuhi saa 1:00 kamili.
Kila siku tunakuletea maneno ya kutia moyo yatakayokupa nguvu mpya za kuanza siku yako kwa ari na matumaini.
Tembelea blog yetu au fatilia kipindi chetu cha kila asubuhi hapa IK MZIKI.
Anza siku ukiwa na fikra chanya!
📲 Jiunge Nasi Kila Platform👇
🔹 Telegram Channel – Bonyeza Hapa
🔹 WhatsApp Group – Bonyeza Hapa
🔹 WhatsApp Channel – Bonyeza Hapa
🔹 YouTube IK MZIKI TV – Bonyeza Hapa
🔹 YouTube IK MZIKI – Bonyeza Hapa
🔹 TikTok – Bonyeza Hapa
🔹 Facebook Page – Bonyeza Hapa
#NukuuYaLeo #HamasaYaAsubuhi #IKMZIKI #TonyRobbins #MotishaYaKilaSiku #KipindiChaAsubuhi