BlogWAZIRI AOMBA DKT. TULIA ACKSON APIGIWE KURA3 years ago Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi, Dkt. Stergomena Tax ameziomba nchi wanachama wa Bunge la Dunia (IPU) kuiunga mkono Tanzania kwa kumpigia kura Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson ambaye anagombea urais wa bunge hilo mwaka huu. Share on Facebook (Opens in new window) Facebook Share on X (Opens in new window) X Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp Share on Telegram (Opens in new window) Telegram